Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Saturday, May 11, 2024

WAZIRI MKUU AFUNGA RASMI MBEYA TULIA MARATHON 2024

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza kabla ya kufunga rasmi mashindano ya mbio ya Mbeya Tulia Marathon 2024 yaliyoandaliwa na Taasisi ya Tulia Trust na kufanyika jijini Mbeya.



Spika wa Bunge na Mkurugenzi wa Tulia Trust, Dk Tulia Ackson akizungumza kwenye kilele cha mashindano ya mbio ya Mbeya Tulia Marathon 2024 yaliyoandaliwa na Taasisi ya Tulia Trust na kufanyika jijini Mbeya.

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma akitumbuiza kwenye mashindano ya mbio ya Mbeya Tulia Marathon 2024 yaliyoandaliwa na Taasisi ya Tulia Trust na kufanyika jijini Mbeya.


Msanii Bahati Bukuku akitumbuiza kwenye kilele cha mashindano ya mbio ya Mbeya Tulia Marathon 2024 yaliyoandaliwa na Taasisi ya Tulia Trust na kufanyika jijini Mbeya.








No comments:

Post a Comment