Unaambiwa ukianzisha kombe lolote waambie Yanga.
Full Time — Safari Champions 1 - 4 Yanga SC.
Mchujo ulianza tangu mwaka jana (2023) chini ya Makocha Sekirojo Chambua, Jamhuri Kihwelo 'Julio' na Alberto Pereira.
Idadi ya wachezaji kila Mkoa :
◉ 8 - Mbeya.
◉ 4 - Mwanza.
◉ 5 - Dar es Salaam.
◉ 5 - Arusha.
Note : Haya ni sehemu ya maandalizi ya kujenga kikosi imara cha baadae cha timu ya Taifa "Taifa Stars"

No comments:
Post a Comment