AL HILAL RASMI MSHINDI WA TATU DARPORT KAGAME CUP 2024
Al Hilal rasmi amechukua nafasi ya Mshindi wa Tatu wa Michuano ya Darport Kagame Cup 2024 baada ya mikwaju ya penati 3-2. Hii ni baada ya dakika 90 za mchezo kumalizika kwa sare ya kufungana 1-1 katika uwanja wa KMC Stadium.
No comments:
Post a Comment