Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, July 21, 2024

AL HILAL RASMI MSHINDI WA TATU DARPORT KAGAME CUP 2024

 



Al Hilal rasmi amechukua nafasi ya Mshindi wa Tatu wa Michuano ya Darport Kagame Cup 2024 baada ya mikwaju ya penati 3-2. Hii ni baada ya dakika 90 za mchezo kumalizika kwa sare ya kufungana 1-1 katika uwanja wa KMC Stadium.

No comments:

Post a Comment