Mkataba Wa Simba Sports
Club Na JayRutty ni wa Shilingi Bilioni 38 kwa miaka mitano.
Kuna gawiwo la 5.6 Bilioni kila mwaka na ongezeko la asilimia 10 kwa kila mwaka
FAIDA ZA KIMKATABA.
1. Ujenzi wa Uwanja wa
Bunju (Watu Elf10 hadi 12).
2. Gari la IRIZAR .
3. Media production.
4. Ujenzi wa Ofisi Mpya
5. Kukuza Vipaji ( pesa
cash kutolewa)
6. Pre seasons
sponsorship
7. Medica room
8. Simba Day ( pesa
itatolewa cash m100)
9. Motisha kwa
wachezaji ( M470 cash)
10. Jezi za brand kubwa
dunia



No comments:
Post a Comment