Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Monday, March 4, 2013

MWANDISHI APIGWA KIBAO NA MWALIMU MKUU

walimu wa shule ya msingi Tunduma leo walinyangánya kamera ya mwanahabari huyu Keneth Goliama pichani baada ya kuwapiga picha ,wakati walimu wakiwa katika operation ya kuwachapa viboko wanafunzi asubuhi saa mbili,wakiongozwa na mkuu wa shule hiyo na kutaka kuivunja lakini mwalimu mmoja aliyeonyesha kujua nini maana ya habari akawaamuru kutoivunja kamera hata kama walilkuwa na makosa, "Walimu hao ambao wakati wa maongezi walisema Serikali inatutesa na nyinyi waandishi mnataka kutuonyesha tunavyofanya watesa wanafunzi na kusema hili halitawezekana lakini baada ya muda nikawaruhusu kuivunja kamera kusubiri sharia kuchukua mkondo lakini wakaacha na kuzifuta picha".anasema Goliama na kuongeza "walimu walijipanga mistari huku wanaichi wakishaangaa barabarani sasa wakati natoka home naenda kazini , nikaona mwalimu anampiga fimbo wanafunzi wakati amesimama nikaamua kupiga baada ya hapo walimu watatu wakaja mkuu wa shule akaninipiga kibao halafu badaye akaomba msamaha kwasabu najua journalist ni challenge nikaamua kumsamehe ilikuwa saa mbili na dakika 10"

No comments:

Post a Comment