lakini mwalimu mmoja aliyeonyesha kujua nini maana ya habari akawaamuru kutoivunja kamera hata kama walilkuwa na makosa,
"Walimu hao ambao wakati wa maongezi walisema Serikali inatutesa na nyinyi waandishi mnataka kutuonyesha tunavyofanya watesa wanafunzi na kusema hili halitawezekana
lakini baada ya muda nikawaruhusu kuivunja kamera kusubiri sharia kuchukua mkondo lakini wakaacha na kuzifuta picha".anasema Goliama na kuongeza
"walimu walijipanga mistari huku wanaichi wakishaangaa barabarani sasa wakati natoka home naenda kazini , nikaona mwalimu anampiga fimbo wanafunzi wakati amesimama nikaamua kupiga baada ya hapo walimu watatu wakaja mkuu wa shule akaninipiga kibao halafu badaye akaomba msamaha kwasabu najua journalist ni challenge nikaamua kumsamehe
ilikuwa saa mbili na dakika 10"
No comments:
Post a Comment