Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Saturday, February 25, 2012

ZIARA YA MAKAMU WA RAIS MBEYA

Ndege ya Makamu wa Rais dk.Bilali ikitua katika uwanja wa ndege wa Mbeya tayari kwa ziara ya siku tatu mkoani Mbeya
Dk.Bilali akisalimia na kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Advocate Nyombi aliyekuwa mmoja wa wenyeji waliofika katika uwanja wa ndege wa Mbeya kumlaki.HAPO CHINI NI

No comments:

Post a Comment