Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, May 15, 2024

MWANA FA ALIVYONOGESHA MBEYA TULIA MARATHON 2024


 Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma(MWANA FA) akitumbuiza kwenye mashindano ya mbio ya Mbeya Tulia Marathon 2024 yaliyoandaliwa na Taasisi ya Tulia Trust na kufanyika jijini Mbeya.

No comments:

Post a Comment