Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, April 24, 2026

RATIBA PRE-BETIKA MBEYA TULIA MARATHON 2026

 


Kuelekea Betika Mbeya Tulia Marathon 2026 msimu wa kumi kufanyika uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya tarehe 15-16/ 05/ 2026 , kesho tarehe 25/ 04/ 2026 wanau wanajiweka tayari kwaajili ya kushiriki marathon itakayo fanyika Jijini Mbeya, kesho wanakutaka stendi ya Kabwe kuanzia saa 12:00 asubuhi wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Beno Malisa na muelekeo ni kuelekea uwanja wa Sokoine ambapo hapo ndipo vibe litakuwa la aina yake.

Imeandaliwa na Mwandishi Wetu


No comments:

Post a Comment