Wapogolo ni kabila la watu kutoka kusini-kati ya nchi ya Tanzania, hususanI Mkoa wa Morogoro. Lugha yao ni Kipogolo.
Mwaka 1987 idadi ya Wapogolo ilikadiriwa kuwa 185,000
Inasemekana asili yao ni Afrika Magharibi, hasa katika nchi ya Senegal, pia Afrika ya Kati Congo. Kuna mila nyingi Senegal na ngoma zake nyingi zinafanana na Sangula. Sababu ya kuhamia Tanzania ilikuwa utafutaji wa ardhi ya kilimo na mabadiliko ya hali ya hewa. Waliendelea kuhama zaidi kutoka Senegal na wengine walikimbilia pia Zambia, Zimbabwe na Malawi. Ndiyo maana kuna ukoo mkubwa wa Matimba kule Malawi na huko Zimbabwe.

No comments:
Post a Comment