Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, July 28, 2024

Yanga SC vs Kaizer Chiefs Toyota Cup leo


 LEO, wananchi Yanga SC watakuwa dimbani kucheza na Kaizer Chiefs ni katika Kombe la Toyota


Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni na kuruka mbashara AzamSports1HD

Ni pira Nabi ama pira Gamondi lipi kuondoka na ushindi?

No comments:

Post a Comment