Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Saturday, July 20, 2024

Augsburg 2 - 1 Yanga

 






BAADA ya mechi kati ya Yanga SC 
🇹🇿 dhidi ya Augsburg 🇩🇪 kumalizika beki wa Klabu ya Augsburg 🇩🇪 ambaye pia ndiye mfungaji wa goli la kwanza La Augsburg, Mady Pedersen alimfuata kwenye Dressing Room Kiungo Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga, Maxi Nzengeli akampongeza kisha wakabadirishana jezi.

Maxi Nzengeli ndiye aliyetoa pasi ya goli lililofungwa na Mshambuliaji Jean Baleke.

No comments:

Post a Comment