Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Saturday, July 13, 2024

SADIO KANOUTE AKUTANA TENA NA BENCHIKHA


Kiungo Mkabaji Raia wa Mali aliyeitumikia Simba SC ya Tanzania kwa misimu mitatu Sadio Kanoute (27) amejiunga na tiku ya JS Kabylie ya Algeria na kuungana na Kocha wakw aliyefanya nae kazi Simba SC Adelhak Benchikha.

No comments:

Post a Comment