Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, July 16, 2024

LIGI KUU YA NBC 2024/25 KUANZA AGOSTI 16

 


Bodi ya ligi kuu Tanzania Bara TPLB imetangaza Agosti 16 kuwa tarehe rasmi ya kuanza kwa ligi kuu ya NBC 2024-2025

Yanga SC ndiyo mabingwa watetezi wa ligi hiyo wataungana na klabu nyingine 15 kukamilisha klabu 16 ambazo zitashiriki ligi katika msimu mpya wa mashindano
Wakati klabu mbalimbali zikijiandaa kumaliza katika nafasi nne za juu, Kengold FC kutoka Chunya Mbeya na Pamba Jiji FC kutoka Mwanza zitaingia katika ligi hiyo kama wageni baada ya kufanikiwa kupanda daraja msimu huu.

No comments:

Post a Comment