Bodi ya ligi kuu Tanzania Bara TPLB imetangaza Agosti 16 kuwa tarehe rasmi ya kuanza kwa ligi kuu ya NBC 2024-2025
Wakati klabu mbalimbali zikijiandaa kumaliza katika nafasi nne za juu, Kengold FC kutoka Chunya Mbeya na Pamba Jiji FC kutoka Mwanza zitaingia katika ligi hiyo kama wageni baada ya kufanikiwa kupanda daraja msimu huu.

No comments:
Post a Comment