Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, June 17, 2014

SIKU YA MTOTO WA AFRIKA YAFANA KATIKA KATA ZA ILEMBO NA MASOKO

.WAELIMISHAJI WA MRADI WA KUPINGAA UKATILI WA KIJINSIA(GBV) NA UKATILI DHIDI YA WATOTO(VAC) WAKIONESHA MANJONJO KATIKA KUSAKATA MUZIKI . .Mmoja wa waelimishaji SINDE DASLAM AKISOMA RISALA MBELE YA MGENI RASMI NA WAGENI WAALIKWA Baadhi ya wakazi wa vijiji vya kata ya Masoko wilayani Mbeya wakisikiliza hotuba ya diwani wa kata hiyo Edward Mwampamba walipoungana na watoto wao katika sherehe za maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika

No comments:

Post a Comment